Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 17:23 - Swahili Revised Union Version

23 Hata alipokuwa akisema nao, kumbe! Yule shujaa alitokea, yule Mfilisti wa Gathi, jina lake Goliathi, akitoka katika jeshi la Wafilisti, akasema maneno yale yale; naye Daudi akayasikia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Alipokuwa anaongea nao, Goliathi yule shujaa wa Wafilisti kutoka Gathi alijitokeza mbele ya wanajeshi wa Israeli kama alivyozoea. Naye Daudi alimsikiliza vizuri sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Alipokuwa anaongea nao, Goliathi yule shujaa wa Wafilisti kutoka Gathi alijitokeza mbele ya wanajeshi wa Israeli kama alivyozoea. Naye Daudi alimsikiliza vizuri sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Alipokuwa anaongea nao, Goliathi yule shujaa wa Wafilisti kutoka Gathi alijitokeza mbele ya wanajeshi wa Israeli kama alivyozoea. Naye Daudi alimsikiliza vizuri sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Alipokuwa akisema nao, Goliathi, yule Mfilisti shujaa kutoka Gathi, akajitokeza mbele ya safu zake na kupiga ile kelele yake ya kawaida ya matukano, naye Daudi akayasikia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Alipokuwa akisema nao, Goliathi, yule Mfilisti shujaa kutoka Gathi, akajitokeza mbele ya safu zake na kupiga ile kelele yake ya kawaida ya matukano, naye Daudi akayasikia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Hata alipokuwa akisema nao, kumbe! Yule shujaa alitokea, yule Mfilisti wa Gathi, jina lake Goliathi, akitoka katika jeshi la Wafilisti, akasema maneno yale yale; naye Daudi akayasikia.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 17:23
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na watu wote wa Israeli walipomwona yule mtu wakakimbia, wakaogopa sana.


Ndipo akatoka shujaa katika kambi ya Wafilisti, aliyeitwa Goliathi, wa Gathi, ambaye urefu wake ulikuwa mikono sita na shibiri moja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo