1 Samueli 15:24 - Swahili Revised Union Version24 Ndipo Sauli akamwambia Samweli, Nimefanya dhambi; maana nimeivunja amri ya BWANA, pia na maneno yako; kwa sababu niliwaogopa wale watu, nikaitii sauti yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Shauli akamwambia Samueli, “Nimetenda dhambi. Nimeasi amri ya Mwenyezi-Mungu na amri yako, kwa sababu niliwaogopa watu, nikawatii wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Shauli akamwambia Samueli, “Nimetenda dhambi. Nimeasi amri ya Mwenyezi-Mungu na amri yako, kwa sababu niliwaogopa watu, nikawatii wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Shauli akamwambia Samueli, “Nimetenda dhambi. Nimeasi amri ya Mwenyezi-Mungu na amri yako, kwa sababu niliwaogopa watu, nikawatii wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Ndipo Sauli akamwambia Samweli, “Nimetenda dhambi. Nimevunja amri ya Mwenyezi Mungu na maagizo yako. Niliwaogopa watu na kwa hiyo nikafanya walivyotaka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Ndipo Sauli akamwambia Samweli, “Nimetenda dhambi. Nimevunja amri ya bwana na maagizo yako. Niliwaogopa watu na kwa hiyo nikafanya walivyotaka. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI24 Ndipo Sauli akamwambia Samweli, Nimefanya dhambi; maana nimeivunja amri ya BWANA, pia na maneno yako; kwa sababu niliwaogopa wale watu, nikaitii sauti yao. Tazama sura |