1 Samueli 15:14 - Swahili Revised Union Version14 Samweli akasema, Maana yake nini basi, hiki kilio cha kondoo masikioni mwangu, na huu mlio wa ng'ombe ninaousikia? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Samueli akamwambia, “Mbona nasikia mlio wa kondoo na ng'ombe?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Samueli akamwambia, “Mbona nasikia mlio wa kondoo na ng'ombe?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Samueli akamwambia, “Mbona nasikia mlio wa kondoo na ng'ombe?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Lakini Samweli akasema, “Nini basi huu mlio wa kondoo masikioni mwangu? Huu mlio wa ng’ombe ninaousikia ni kitu gani?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Lakini Samweli akasema, “Nini basi huu mlio wa kondoo masikioni mwangu? Huu mlio wa ng’ombe ninaousikia ni kitu gani?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Samweli akasema, Maana yake nini basi, hiki kilio cha kondoo masikioni mwangu, na huu mlio wa ng'ombe ninaousikia? Tazama sura |