1 Samueli 15:13 - Swahili Revised Union Version13 Samweli akamwendea Sauli; naye Sauli akamwambia, Ubarikiwe na BWANA, nimeitimiza amri ya BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Samueli alipomfikia Shauli, Shauli akamwambia Samueli, “Mwenyezi-Mungu na akubariki! Nimetekeleza amri ya Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Samueli alipomfikia Shauli, Shauli akamwambia Samueli, “Mwenyezi-Mungu na akubariki! Nimetekeleza amri ya Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Samueli alipomfikia Shauli, Shauli akamwambia Samueli, “Mwenyezi-Mungu na akubariki! Nimetekeleza amri ya Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Samweli alipomfikia, Sauli akamwambia, “Mwenyezi Mungu akubariki! Nimetimiza yale Mwenyezi Mungu aliyoniagiza.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Samweli alipomfikia, Sauli akamwambia, “bwana akubariki! Nimetimiza yale bwana aliniagiza.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Samweli akamwendea Sauli; naye Sauli akamwambia, Ubarikiwe na BWANA, nimeitimiza amri ya BWANA. Tazama sura |