Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 14:48 - Swahili Revised Union Version

48 Naye kwa ushujaa, akawapiga Waamaleki, na kuwaokoa Waisraeli kutoka kwa mikono ya waliowateka nyara.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Alipigana kwa uhodari, akawashinda Waamaleki. Aliwaokoa Waisraeli kutoka kwa watu wote waliowashambulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Alipigana kwa uhodari, akawashinda Waamaleki. Aliwaokoa Waisraeli kutoka kwa watu wote waliowashambulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Alipigana kwa uhodari, akawashinda Waamaleki. Aliwaokoa Waisraeli kutoka kwa watu wote waliowashambulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Akapigana kishujaa na kuwashinda Waamaleki, akiikomboa Israeli kutoka mikono ya wale waliokuwa wamewateka nyara.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Akapigana kishujaa na kuwashinda Waamaleki, akiikomboa Israeli kutoka mikono ya wale waliokuwa wamewateka nyara.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

48 Naye kwa ushujaa, akawapiga Waamaleki, na kuwaokoa Waisraeli kutoka katika mikono ya waliowateka nyara.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 14:48
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kutoka kwa damu yao waliouawa, Kutoka kwa shahamu yao mashujaa, Upinde wa Yonathani haukurudi nyuma, Wala upanga wa Sauli haukurudi bure.


BWANA akamwambia Musa, Andika habari hii katika kitabu iwe ukumbusho, kisha ihubiri masikioni mwa Yoshua; ya kuwa nitaufuta ukumbusho wa Amaleki kabisa, usiwe tena chini ya mbingu.


Wakati huo Waamaleki wakatokea, wakapigana na Israeli huko Refidimu.


Basi itakuwa, hapo atakapokwisha kukupumzisha BWANA, Mungu wako, katika adui zako wote walio kandokando, katika nchi akupayo BWANA, Mungu wako, iwe urithi uimiliki, ndipo uufute ukumbuko wa Amaleki chini ya mbingu; usisahau.


Kisha BWANA akawainua waamuzi, waliowaokoa mikononi mwa watu hao waliowateka nyara.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo