1 Samueli 14:35 - Swahili Revised Union Version35 Naye Sauli akamjengea BWANA madhabahu; hiyo ndiyo madhabahu ya kwanza aliyomjengea BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Basi, Shauli akamjengea Mwenyezi-Mungu madhabahu. Hiyo ilikuwa ndiyo madhabahu ya kwanza ambayo Shauli alimjengea Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Basi, Shauli akamjengea Mwenyezi-Mungu madhabahu. Hiyo ilikuwa ndiyo madhabahu ya kwanza ambayo Shauli alimjengea Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Basi, Shauli akamjengea Mwenyezi-Mungu madhabahu. Hiyo ilikuwa ndiyo madhabahu ya kwanza ambayo Shauli alimjengea Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Ndipo Sauli akamjengea Mwenyezi Mungu madhabahu, na ndiyo ilivyokuwa mara yake ya kwanza kujenga madhabahu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Ndipo Sauli akamjengea bwana madhabahu, na ndiyo ilivyokuwa mara yake ya kwanza kujenga madhabahu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI35 Naye Sauli akamjengea BWANA madhabahu; hiyo ndiyo madhabahu ya kwanza aliyomjengea BWANA. Tazama sura |