1 Samueli 14:25 - Swahili Revised Union Version25 Nao watu wote wakaingia mwituni; na humo mlikuwa na asali juu ya nchi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Watu wote walipofika sehemu yenye msitu, walikuta asali kila mahali. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Watu wote walipofika sehemu yenye msitu, walikuta asali kila mahali. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Watu wote walipofika sehemu yenye msitu, walikuta asali kila mahali. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Jeshi lote liliingia mwituni, na huko kulikuwa na asali juu ya ardhi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Jeshi lote liliingia mwituni, na huko kulikuwepo na asali ardhini. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 Nao watu wote wakaingia mwituni; na humo mlikuwa na asali juu ya nchi. Tazama sura |