Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 14:25 - Swahili Revised Union Version

25 Nao watu wote wakaingia mwituni; na humo mlikuwa na asali juu ya nchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Watu wote walipofika sehemu yenye msitu, walikuta asali kila mahali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Watu wote walipofika sehemu yenye msitu, walikuta asali kila mahali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Watu wote walipofika sehemu yenye msitu, walikuta asali kila mahali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Jeshi lote liliingia mwituni, na huko kulikuwa na asali juu ya ardhi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Jeshi lote liliingia mwituni, na huko kulikuwepo na asali ardhini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Nao watu wote wakaingia mwituni; na humo mlikuwa na asali juu ya nchi.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 14:25
8 Marejeleo ya Msalaba  

nami nimeshuka ili niwaokoe kutoka kwa mikono ya Wamisri, niwapandishe kutoka nchi ile, hadi nchi njema, kisha pana; nchi itiririkayo maziwa na asali; hata mahali pa Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi.


Je! Umeona asali? Kula kadiri ya kukutosha; Usije ukashiba na kuitapika.


Wakamwambia wakasema, Tulifika nchi ile uliyotutuma, kwa hakika, ni nchi yenye wingi wa maziwa na asali, uthibitisho, haya ndiyo matunda yake.


isije nchi uliyotutoa ikasema, Ni kwa sababu BWANA hakuweza kuwaleta katika nchi aliyowahidi, tena ni kwa kuwa aliwachukia, aliwatoa nje ili kuwaua jangwani.


Akatwaa asali mikononi mwake akasonga mbele, huku akila alipokuwa akienda, akawafikia babaye na mamaye, akawapa, nao wakala; lakini hakuwaambia ya kuwa ameitwaa hiyo asali katika mzoga wa simba.


Nao watu wa Israeli walisumbuka sana siku ile; lakini Sauli alikuwa amewaapisha watu, akisema, Na alaaniwe mtu awaye yote alaye chakula chochote hadi jioni, nipate kujilipiza kisasi juu ya adui zangu. Basi hakuna mtu miongoni mwao aliyeonja chakula.


Na hapo watu walipoingia mwituni, tazama, hiyo asali ilikuwa ikidondoka; lakini hakuna mtu hata mmoja aliyetia mkono wake kinywani; kwa sababu hao watu walikuwa wakikiogopa kile kiapo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo