1 Samueli 14:23 - Swahili Revised Union Version23 Hivyo BWANA akawaokoa Israeli siku ile; na vita ilienea mpaka kupita Beth-aveni, na watu wote waliokuwa pamoja na Sauli walikuwa kama wanaume elfu kumi. Vita ikanenea katika nchi yenye milima milima ya Efraimu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Hivyo Mwenyezi-Mungu aliwapa Waisraeli ushindi. Vita vilienea mpaka kupita Beth-aveni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Hivyo Mwenyezi-Mungu aliwapa Waisraeli ushindi. Vita vilienea mpaka kupita Beth-aveni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Hivyo Mwenyezi-Mungu aliwapa Waisraeli ushindi. Vita vilienea mpaka kupita Beth-aveni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Hivyo Mwenyezi Mungu akawaokoa Waisraeli siku ile, navyo vita vilienea hadi kupita Beth-Aveni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Hivyo bwana akawaokoa Waisraeli siku ile, navyo vita vilienea hadi kupita Beth-Aveni. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI23 Hivyo BWANA akawaokoa Israeli siku ile; na vita ilienea mpaka kupita Beth-aveni, na watu wote waliokuwa pamoja na Sauli walikuwa kama wanaume elfu kumi. Vita ikaenea katika nchi yenye milima milima ya Efraimu. Tazama sura |