Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 13:8 - Swahili Revised Union Version

8 Akangoja siku saba, kwa kadiri ya muda uliowekwa na Samweli lakini Samweli hakuja Gilgali; na hao watu wakatawanyika mbali naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Shauli alimngoja Samueli kwa muda wa siku saba, kama Samueli alivyosema. Lakini Samueli hakuja huko Gilgali na watu walianza kumwacha Shauli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Shauli alimngoja Samueli kwa muda wa siku saba, kama Samueli alivyosema. Lakini Samueli hakuja huko Gilgali na watu walianza kumwacha Shauli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Shauli alimngoja Samueli kwa muda wa siku saba, kama Samueli alivyosema. Lakini Samueli hakuja huko Gilgali na watu walianza kumwacha Shauli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Akangoja kwa siku saba, muda uliowekwa na Samweli; lakini Samweli hakuja Gilgali, nao watu wa Sauli wakaanza kutawanyika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Akangoja kwa siku saba, muda uliowekwa na Samweli; lakini Samweli hakuja Gilgali, nao watu wa Sauli wakaanza kutawanyika.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Akangoja siku saba, kwa kadiri ya muda uliowekwa na Samweli lakini Samweli hakuja Gilgali; na hao watu wakatawanyika mbali naye.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 13:8
2 Marejeleo ya Msalaba  

Amasa akaenda kuwakusanya watu wa Yuda; lakini akakawia zaidi ya huo muda aliowekewa.


Nawe utateremka mbele yangu mpaka Gilgali; nami, angalia, nitakuteremkia huko, ili kutoa sadaka za kuteketezwa, na kuchinja sadaka za amani; siku saba utangoja, hata nitakapokujia, na kukuonesha yatakayokupasa kuyafanya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo