Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 11:10 - Swahili Revised Union Version

10 Kwa hiyo watu wa Yabeshi walisema, Kesho tutawatokea, nanyi mtatufanyia yote myaonayo kuwa ni mema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Hivyo, wakamkejeli Nahashi wakimwambia, “Kesho tutajisalimisha kwako, nawe utatutendea lolote unaloona ni jema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Hivyo, wakamkejeli Nahashi wakimwambia, “Kesho tutajisalimisha kwako, nawe utatutendea lolote unaloona ni jema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Hivyo, wakamkejeli Nahashi wakimwambia, “Kesho tutajisalimisha kwako, nawe utatutendea lolote unaloona ni jema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Wakawaambia Waamoni, “Kesho tutajisalimisha kwenu, nanyi mtaweza kututendea chochote mnachoona chema kwenu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Wakawaambia Waamoni, “Kesho tutajisalimisha kwenu, nanyi mtaweza kututendea chochote mnachoona chema kwenu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Kwa hiyo watu wa Yabeshi walisema, Kesho tutawatokea, nanyi mtatufanyia yote myaonayo kuwa ni mema.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 11:10
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme wa Israeli akajibu, akasema, Ni kama ulivyosema, bwana wangu, mfalme; mimi ni wako, na vyote nilivyo navyo.


Nao wakawaambia hao wajumbe waliokuja, Waambieni watu wa Yabesh-gileadi, Kesho, wakati wa jua kali, mtapata wokovu. Basi wale wajumbe wakaenda, wakawaarifu watu wa Yabeshi; nao wakafurahi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo