Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zekaria 5:1 - Swahili Revised Union Version

Basi, nikainua macho yangu tena, nikaona, na tazama, gombo la kitabu lirukalo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nilipotazama tena niliona kitabu kinaruka angani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nilipotazama tena niliona kitabu kinaruka angani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nilipotazama tena niliona kitabu kinaruka angani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nikatazama tena: na hapo mbele yangu kulikuwa na kitabu kinachoruka!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nikatazama tena: na hapo mbele yangu kulikuwa na kitabu kilichoruka!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, nikainua macho yangu tena, nikaona, na tazama, gombo la chuo lirukalo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zekaria 5:1
9 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akaniambia, Ujipatie ubao mkubwa ukaandike juu yake kwa hati ya kawaida, Kwa Maher-shalal-hash-bazi;


Akaniuliza, Unaona nini? Nikajibu, Naona gombo la kitabu lirukalo; na urefu wake ni dhiraa ishirini, na upana wake dhiraa kumi.


Na katika mkono wake alikuwa na kitabu kidogo kimefunguliwa. Akaweka mguu wake wa kulia juu ya bahari, nao wa kushoto juu ya nchi.