Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 9:3 - Swahili Revised Union Version

Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma; Hujikwaa na kuangamia mbele zako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakati ulipotokea, maadui zangu walirudi nyuma, walijikwaa na kuangamia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakati ulipotokea, maadui zangu walirudi nyuma, walijikwaa na kuangamia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakati ulipotokea, maadui zangu walirudi nyuma, walijikwaa na kuangamia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Adui zangu wamerudi nyuma, wamejikwaa na kuangamia mbele zako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Adui zangu wamerudi nyuma, wamejikwaa na kuangamia mbele zako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma; Hujikwaa na kuangamia mbele zako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 9:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe ndiwe utishaye, naam, Wewe; Naye ni nani awezaye kusimama ukasirikapo?


Umechomwa moto; umekatwa; Kwa lawama ya uso wako wanapotea.


Kwa kuwa Wewe BWANA ndiwe kimbilio langu; Umemfanya Aliye Juu kuwa makao yako.


Kuzitangaza rehema zako asubuhi, Na uaminifu wako wakati wa usiku.


Ulipofanya mambo ya kutisha tusiyoyatazamia, ulishuka, milima ikatetemeka mbele zako.


watakaoadhibiwa kwa maangamizi ya milele, kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa nguvu zake;


Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.