Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 81:1 - Swahili Revised Union Version

Mwimbieni Mungu, nguvu zetu, nyimbo za furaha, Mshangilieni Mungu wa Yakobo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwimbieni kwa sauti Mungu, nguvu yetu, mshangilieni Mungu wa Yakobo;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwimbieni kwa sauti Mungu, nguvu yetu, mshangilieni Mungu wa Yakobo;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwimbieni kwa sauti Mungu, nguvu yetu, mshangilieni Mungu wa Yakobo;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu; mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu; mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwimbieni Mungu, nguvu zetu, nyimbo za furaha, Mshangilieni Mungu wa Yakobo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 81:1
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mwambieni Yusufu hivi, Naomba uwasamehe ndugu zako kosa lao na dhambi yao, maana walikutenda mabaya; sasa twakuomba utusamehe kosa la watumishi wa Mungu wa baba yako. Yusufu akalia waliposema naye.


Na haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni; Libni, na Shimei.


BWANA ni nguvu zangu na ngao yangu. Moyo wangu umemtumaini, Nami nimesaidiwa; Basi, moyo wangu unashangilia, Na kwa wimbo wangu nitamshukuru.


BWANA wa majeshi yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu.


Mungu, Mungu BWANA, amenena, ameiita nchi, Toka maawio ya jua hadi machweo yake.


Kumbe! Huyu ndiye mtu yule, Asiyemfanya Mungu kuwa kimbilio lake. Aliutumainia wingi wa mali zake, Na kufanya mali kimbilio lake.


Mpigie Mungu kelele za shangwe, nchi yote,


Mataifa na washangilie, Naam, waimbe kwa furaha, Maana kwa haki utawahukumu watu, Na kuwaongoza mataifa walioko duniani.


Ee, MUNGU, Bwana wetu Jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani kote! Wewe umeuweka utukufu wako mbinguni;


Maana BWANA asema hivi, Mwimbieni Yakobo kwa furaha, mkampigie kelele mkuu wa mataifa, tangazeni, sifuni, mkaseme, Ee BWANA, uwaokoe watu wako, mabaki ya Israeli.


Mimi ni Mungu wa Abrahamu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu si Mungu wa wafu, bali wa walio hai.


Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.