Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 8:3 - Swahili Revised Union Version

Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, Mwezi na nyota ulizoziratibisha;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nikiangalia mbingu, kazi ya vidole vyako, mwezi na nyota ulizozisimika huko,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nikiangalia mbingu, kazi ya vidole vyako, mwezi na nyota ulizozisimika huko,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nikiangalia mbingu, kazi ya vidole vyako, mwezi na nyota ulizozisimika huko,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, mwezi na nyota, ulizoziratibisha,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, mwezi na nyota, ulizoziratibisha,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, Mwezi na nyota ulizoziratibisha;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 8:3
18 Marejeleo ya Msalaba  

Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.


Je! Mungu hayuko mbinguni juu? Tena tazama umbali wa nyota, jinsi zilivyo juu!


Je! Majeshi yake yahesabika? Ni nani asiyetokewa na mwanga wake?


Tazama, hata mwezi hauangazi, Wala nyota si safi machoni pake;


Kumbuka kuitukuza kazi yake, Watu waliyoiimbia.


Aliufanya mwezi kwa ajili ya nyakati, Jua latambua kuchwa kwake.


Matendo ya BWANA ni makuu, Yafikiriwa sana na wapendezwao nayo.


Msifuni, jua na mwezi; Msifuni, nyota zote zenye mwanga.


Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu, Na anga laitangaza kazi ya mikono yake.


Kwa neno la BWANA mbingu ziliumbwa, Na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake.


Mbingu ni mali yako, nchi nayo ni mali yako, Ulimwengu na vyote viujazavyo Ndiwe uliyeupiga msingi wake.


Hapo BWANA alipokuwa amekwisha zungumza na Musa katika mlima wa Sinai, akampa hizo mbao mbili za ushuhuda, mbao mbili za mawe, zilizoandikwa kwa kidole cha Mungu.


Ndipo wale waganga wakamwambia Farao, Jambo hili ni kidole cha Mungu; na moyo wake Farao ukawa mgumu asiwasikize; vile vile kama BWANA alivyonena.


Lakini, ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia.


Kwa sababu mambo yake yasiyoonekana tangu kuumbwa ulimwengu yanaonekana, na kufahamika kwa kazi zake; yaani, uweza wake wa milele na Uungu wake; hata wasiwe na udhuru;


tena usije ukainua macho yako hata mbinguni, na ulionapo jua, na mwezi, na nyota, jeshi la mbinguni lote pia, ukashawishwa na kuviabudu, na kuvitumikia, ambavyo BWANA, Mungu wako amewagawanyia watu wote chini ya mbingu zote.