Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 26:2 - Swahili Revised Union Version

Ee BWANA, unijaribu na kunipima; Unisafishe akili yangu na moyo wangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Unijaribu, ee Mwenyezi-Mungu, na kunipima; uchunguze moyo wangu na akili zangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Unijaribu, ee Mwenyezi-Mungu, na kunipima; uchunguze moyo wangu na akili zangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Unijaribu, ee Mwenyezi-Mungu, na kunipima; uchunguze moyo wangu na akili zangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mwenyezi Mungu, unijaribu, unipime, uuchunguze moyo wangu na mawazo yangu;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee bwana, unijaribu, unipime, uuchunguze moyo wangu na mawazo yangu;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee BWANA, unijaribu na kunipima; Unisafishe akili yangu na moyo wangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 26:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.


Umenijaribu moyo wangu, umenijia usiku, Umenichunguza usione neno; Nimenuia kinywa changu kisikose,


Kwa maana umetupima, Ee Mungu, Umetujaribu inavyojaribiwa fedha.


Ubaya wao wasio haki na ukome, Lakini umthibitishe mwenye haki. Kwa maana mjaribu mioyo na fikira Ndiye Mungu aliye mwenye haki.


Lakini, Ee BWANA wa majeshi, wewe wawajaribu wenye haki, waona fikira na mioyo, nijalie kuona kisasi chako juu yao; kwa maana nimekufunulia wewe neno langu.


Nami nitalileta fungu lile la tatu na kulipitisha kati ya moto, nami nitawasafisha kama fedha isafishwavyo, nami nitawajaribu kama dhahabu ijaribiwavyo; wataliitia jina langu, nami nitawasikia; mimi nitasema, Watu hawa ndio wangu; nao watasema, BWANA ndiye Mungu wangu.