Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 26:3 - Swahili Revised Union Version

3 Maana fadhili zako zi mbele ya macho yangu, Nami nimekwenda katika kweli yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Fadhili zako ziko mbele ya macho yangu, ninaishi kutokana na uaminifu wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Fadhili zako ziko mbele ya macho yangu, ninaishi kutokana na uaminifu wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Fadhili zako ziko mbele ya macho yangu, ninaishi kutokana na uaminifu wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 kwa maana upendo wako uko mbele yangu daima, nami natembea siku zote katika kweli yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 kwa maana upendo wako uko mbele yangu daima, nami natembea siku zote katika kweli yako.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Maana fadhili zako zi mbele ya macho yangu, Nami nimekwenda katika kweli yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 26:3
25 Marejeleo ya Msalaba  

Nakusihi, BWANA, ukumbuke sasa, jinsi nilivyokwenda mbele zako katika kweli na kwa moyo mkamilifu, na kutenda yaliyo mema machoni pako. Hezekia akalia sana sana.


Nitakuwa na mwenendo usio na hatia; Utakuja kwangu lini? Nitakwenda kwa unyofu wa moyo Ndani ya nyumba yangu.


Haki yako ni haki ya milele, Na sheria yako ni kweli.


Uniongoze katika kweli yako, Na kunifundisha. Maana Wewe ndiwe Mungu wa wokovu wangu, Nakungoja Wewe mchana kutwa.


Kwa nini kujisifia uovu, Ewe jabari? Wema wa Mungu upo sikuzote.


Ee BWANA, unifundishe njia yako; Nitakwenda katika kweli yako; Moyo wangu na ufurahi kulicha jina lako;


Enyi wa nyumba ya Israeli, njoni, twende katika nuru ya BWANA.


Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.


Basi, iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Lakini sisi sote, kwa uso usiotiwa utaji, tukiurudisha utukufu wa Bwana, kama vile katika kioo, tunabadilishwa tufanane na mfano uo huo, toka utukufu hata utukufu, kama vile kwa utukufu utokao kwa Bwana, aliye Roho.


Maana mmejua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, jinsi alivyokuwa maskini kwa ajili yenu, ingawa alikuwa tajiri, ili kwamba ninyi mpate kuwa matajiri kwa umaskini wake.


tena iweni wafadhili ninyi kwa ninyi, wenye huruma, mkasameheane kama Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.


bali tukienenda katika nuru, kama yeye alivyo katika nuru, tunashirikiana sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana wake, yatusafisha dhambi yote.


Nilifurahi mno kwa kuwa nimewaona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile tulivyopokea amri kwa Baba.


Mpenzi, usiuige ubaya, bali uige wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu, bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo