Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 101:1 - Swahili Revised Union Version

Rehema na hukumu nitaziimba, Ee BWANA, nitakuimbia zaburi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utenzi wangu kuhusu uaminifu na haki; ninauimba kwa heshima yako, ee Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utenzi wangu kuhusu uaminifu na haki; ninauimba kwa heshima yako, ee Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utenzi wangu kuhusu uaminifu na haki; ninauimba kwa heshima yako, ee Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitaimba kuhusu upendo wako na haki yako; kwako wewe, Ee Mwenyezi Mungu, nitaimba sifa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitaimba juu ya upendo wako na haki yako; kwako wewe, Ee bwana, nitaimba sifa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Rehema na hukumu nitaziimba, Ee BWANA, nitakuimbia zaburi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 101:1
14 Marejeleo ya Msalaba  

Watasimulia juu ya ukuu wa wema wako mwingi. Na wataiimba haki yako kwa sauti.


Ee MUNGU, Mungu wa wokovu wangu, Uniponye na umwagaji wa damu, Na ulimi wangu utaiimba haki yako.


Fadhili za BWANA nitaziimba milele; Kwa kinywa changu nitavijulisha vizazi vyote uaminifu wako.


Kuzitangaza rehema zako asubuhi, Na uaminifu wako wakati wa usiku.


Sayuni imesikia na kufurahi, Binti za Yuda walishangilia, Kwa sababu ya hukumu zako, Ee BWANA.


Ee mwanadamu, yeye amekuonesha yaliyo mema; na BWANA anataka nini kwako, ila kutenda haki, na kupenda rehema, na kwenda kwa unyenyekevu na Mungu wako!


Tazama, basi, wema na ukali wa Mungu; kwa wale walioanguka, ukali, bali kwako wewe wema wa Mungu, ukikaa katika wema huo; kama sivyo, wewe nawe utakatiliwa mbali.