Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 101:1 - Swahili Revised Union Version

1 Rehema na hukumu nitaziimba, Ee BWANA, nitakuimbia zaburi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Utenzi wangu kuhusu uaminifu na haki; ninauimba kwa heshima yako, ee Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Utenzi wangu kuhusu uaminifu na haki; ninauimba kwa heshima yako, ee Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Utenzi wangu kuhusu uaminifu na haki; ninauimba kwa heshima yako, ee Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Nitaimba kuhusu upendo wako na haki yako; kwako wewe, Ee Mwenyezi Mungu, nitaimba sifa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Nitaimba juu ya upendo wako na haki yako; kwako wewe, Ee bwana, nitaimba sifa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Rehema na hukumu nitaziimba, Ee BWANA, nitakuimbia zaburi.

Tazama sura Nakili




Zaburi 101:1
14 Marejeleo ya Msalaba  

Watasimulia juu ya ukuu wa wema wako mwingi. Na wataiimba haki yako kwa sauti.


Ee MUNGU, Mungu wa wokovu wangu, Uniponye na umwagaji wa damu, Na ulimi wangu utaiimba haki yako.


Fadhili za BWANA nitaziimba milele; Kwa kinywa changu nitavijulisha vizazi vyote uaminifu wako.


Kuzitangaza rehema zako asubuhi, Na uaminifu wako wakati wa usiku.


Sayuni imesikia na kufurahi, Binti za Yuda walishangilia, Kwa sababu ya hukumu zako, Ee BWANA.


Ee mwanadamu, yeye amekuonesha yaliyo mema; na BWANA anataka nini kwako, ila kutenda haki, na kupenda rehema, na kwenda kwa unyenyekevu na Mungu wako!


Tazama, basi, wema na ukali wa Mungu; kwa wale walioanguka, ukali, bali kwako wewe wema wa Mungu, ukikaa katika wema huo; kama sivyo, wewe nawe utakatiliwa mbali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo