Zaburi 101:1 - Swahili Revised Union Version1 Rehema na hukumu nitaziimba, Ee BWANA, nitakuimbia zaburi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Utenzi wangu kuhusu uaminifu na haki; ninauimba kwa heshima yako, ee Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Utenzi wangu kuhusu uaminifu na haki; ninauimba kwa heshima yako, ee Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Utenzi wangu kuhusu uaminifu na haki; ninauimba kwa heshima yako, ee Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Nitaimba kuhusu upendo wako na haki yako; kwako wewe, Ee Mwenyezi Mungu, nitaimba sifa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Nitaimba juu ya upendo wako na haki yako; kwako wewe, Ee bwana, nitaimba sifa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Rehema na hukumu nitaziimba, Ee BWANA, nitakuimbia zaburi. Tazama sura |