Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 9:2 - Swahili Revised Union Version

ndipo walipojikutanisha pamoja wenyewe kwa wenyewe, ili kupigana na Yoshua, na hao Israeli, kwa nia moja.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wakakusanyika pamoja kwa nia moja ili kupigana vita na Yoshua na Waisraeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wakakusanyika pamoja kwa nia moja ili kupigana vita na Yoshua na Waisraeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wakakusanyika pamoja kwa nia moja ili kupigana vita na Yoshua na Waisraeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

waliungana ili kupigana vita dhidi ya Yoshua na Israeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wakajiunga pamoja ili kupigana vita dhidi ya Yoshua na Israeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ndipo walipojikutanisha pamoja wenyewe kwa wenyewe, ili kupigana na Yoshua, na hao Israeli, kwa nia moja.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 9:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika, mtu mwovu hatakosa adhabu; Bali wazawa wa wenye haki wataokoka.


Tazama, hakika ikiwa utashambuliwa na yeyote, haitakuwa kwa shauri langu. Yeyote atakayekushambulia ataanguka kwa ajili yako.


Msiseme, Ni njama, kuhusu mambo yote ambayo watu hawa watasema, Ni njama; msihofu kwa hofu yao, wala msiogope.


Ndipo hao wafalme watano wa Waamori, mfalme wa Yerusalemu, na mfalme wa Hebroni na mfalme wa Yarmuthi na mfalme wa Lakishi, na mfalme wa Egloni, wakakutana pamoja, kisha wakakwea, wao na majeshi yao yote, na kupiga kambi yao kinyume cha Gibeoni, na kuupiga vita.


Kisha ikawa, hapo huyo Yabini, mfalme wa Hazori, aliposikia habari ya mambo hayo, akatuma mjumbe aende kwa Yobabu, mfalme wa Madoni, na kwa mfalme wa Shimroni, na mfalme wa Akshafu,


Wafalme hao wote wakakutana pamoja; wakaenda na kupanga mahema yao pamoja hapo penye maji ya Meromu, ili kupigana na Israeli.


Nanyi mliuvuka Yordani, mkafika Yeriko; nao watu wa Yeriko wakapigana nanyi, Mwamori, na Mperizi, na Mkanaani, na Mhiti, na Mgirgashi, na Mhivi, na Myebusi; nami nikawatia mikononi mwenu.


Hizo ndizo roho za mashetani, zifanyazo ishara, zitokazo na kuwaendea wafalme wa ulimwengu wote kuwakusanya kwa vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.