Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 7:8 - Swahili Revised Union Version

Ee Bwana, niseme nini baada ya Israeli kuwapa visogo adui zao?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Bwana, niseme nini hali Waisraeli wamewakimbia adui zao?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Bwana, niseme nini hali Waisraeli wamewakimbia adui zao?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Bwana, niseme nini hali Waisraeli wamewakimbia adui zao?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Bwana, niseme nini sasa, ikiwa sasa Israeli ameshafukuzwa na adui zake?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee bwana, niseme nini sasa, ikiwa sasa Israeli ameshafukuzwa na adui zake?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee Bwana, niseme nini baada ya Israeli kuwapa visogo adui zao?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 7:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na sasa, Ee Mungu wetu, tuseme nini baada ya hayo? Maana tumeziacha amri zako,


Waturudisha nyuma tukampa mtesi kisogo, Na watuchukiao wanajipatia mateka.


Pia umeurudisha nyuma ukali wa upanga wake; Wala hukumsimamisha vitani.


Mimi nitasimama katika zamu yangu, nitajiweka juu ya mnara, nitaangalia ili nione atakaloniambia, na jinsi nitakavyojibu kuhusu kulalamika kwangu.


Yoshua akasema, Ee Bwana MUNGU, kwa nini umewavusha watu hawa mto wa Yordani, ili kututia katika mikono ya Waamori, na kutuangamiza? Laiti tu, tungaliridhika kukaa ng'ambo ya Yordani


Maana Wakanaani na wenyeji wote wa nchi hii watasikia habari hii, nao watatuzingira, na kulifuta jina letu katika nchi. Nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?


Hata watu walipofika kambini, wazee wa Israeli wakasema, Mbona BWANA ametupiga leo mbele ya Wafilisti? Twende tukalilete sanduku la Agano la BWANA kutoka Shilo hadi huku, lije kati yetu, na kutuokoa katika mikono ya adui zetu.