Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 7:8 - Swahili Revised Union Version

8 Ee Bwana, niseme nini baada ya Israeli kuwapa visogo adui zao?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Ee Bwana, niseme nini hali Waisraeli wamewakimbia adui zao?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Ee Bwana, niseme nini hali Waisraeli wamewakimbia adui zao?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Ee Bwana, niseme nini hali Waisraeli wamewakimbia adui zao?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Ee Bwana, niseme nini sasa, ikiwa sasa Israeli ameshafukuzwa na adui zake?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Ee bwana, niseme nini sasa, ikiwa sasa Israeli ameshafukuzwa na adui zake?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Ee Bwana, niseme nini baada ya Israeli kuwapa visogo adui zao?

Tazama sura Nakili




Yoshua 7:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na sasa, Ee Mungu wetu, tuseme nini baada ya hayo? Maana tumeziacha amri zako,


Waturudisha nyuma tukampa mtesi kisogo, Na watuchukiao wanajipatia mateka.


Pia umeurudisha nyuma ukali wa upanga wake; Wala hukumsimamisha vitani.


Mimi nitasimama katika zamu yangu, nitajiweka juu ya mnara, nitaangalia ili nione atakaloniambia, na jinsi nitakavyojibu kuhusu kulalamika kwangu.


Yoshua akasema, Ee Bwana MUNGU, kwa nini umewavusha watu hawa mto wa Yordani, ili kututia katika mikono ya Waamori, na kutuangamiza? Laiti tu, tungaliridhika kukaa ng'ambo ya Yordani


Maana Wakanaani na wenyeji wote wa nchi hii watasikia habari hii, nao watatuzingira, na kulifuta jina letu katika nchi. Nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?


Hata watu walipofika kambini, wazee wa Israeli wakasema, Mbona BWANA ametupiga leo mbele ya Wafilisti? Twende tukalilete sanduku la Agano la BWANA kutoka Shilo hadi huku, lije kati yetu, na kutuokoa katika mikono ya adui zetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo