Ezra 9:10 - Swahili Revised Union Version10 Na sasa, Ee Mungu wetu, tuseme nini baada ya hayo? Maana tumeziacha amri zako, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 “Lakini sasa, ee Mungu wetu, tuseme nini baada ya hayo yote? Maana, tumeziasi amri zako Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 “Lakini sasa, ee Mungu wetu, tuseme nini baada ya hayo yote? Maana, tumeziasi amri zako Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 “Lakini sasa, ee Mungu wetu, tuseme nini baada ya hayo yote? Maana, tumeziasi amri zako Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 “Lakini sasa, Ee Mungu wetu, tunaweza kusema nini baada ya hili? Kwa maana tumedharau maagizo Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 “Lakini sasa, Ee Mungu wetu, tunaweza kusema nini baada ya hili? Kwa maana tumedharau maagizo Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Na sasa, Ee Mungu wetu, tuseme nini baada ya hayo? Maana tumeziacha amri zako, Tazama sura |