Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 4:2 - Swahili Revised Union Version

Haya, twaeni watu wanaume kumi na wawili katika hao watu, kila kabila mtu mmoja,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Chagua watu kumi na wawili miongoni mwa hao Waisraeli, yaani mtu mmoja kutoka kila kabila,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Chagua watu kumi na wawili miongoni mwa hao Waisraeli, yaani mtu mmoja kutoka kila kabila,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Chagua watu kumi na wawili miongoni mwa hao Waisraeli, yaani mtu mmoja kutoka kila kabila,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Chagua watu kumi na wawili miongoni mwa watu, kila kabila mtu mmoja,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Chagua watu kumi na wawili miongoni mwa watu, kila kabila mtu mmoja,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haya, twaeni watu wanaume kumi na wawili katika hao watu, kila kabila mtu mmoja,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 4:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Eliya akatwaa mawe kumi na mawili, kwa hesabu ya makabila ya wana wa Yakobo, aliyejiliwa na neno la BWANA na kuambiwa, Jina lako litakuwa Israeli.


Tuma watu, ili waende wakaipeleleze nchi ya Kanaani, niwapayo wana wa Israeli; katika kabila la baba zao mtamtuma mtu mmoja, kila mtu na awe mkuu kati yao.


Kisha mtamtwaa mkuu mmoja wa kila kabila, ili waigawanye nchi iwe urithi wenu.


Neno hili likanipendeza sana; nikatwaa watu kumi na wawili, mtu mmoja wa kila kabila.


Basi sasa twaeni watu kumi na wawili katika makabila ya Israeli, kila kabila mtu mmoja.


kisha uwaamrishe, kusema, Twaeni mawe kumi na mawili, hapo katikati ya Yordani, mahali hapo miguu ya hao makuhani iliposimama imara, mwende na mawe hayo, mkayaweke mahali pale kambini ambapo mtalala usiku huu.