Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 21:28 - Swahili Revised Union Version

Tena katika kabila la Isakari, Kishioni pamoja na malisho yake, na Daberathi pamoja na mbuga zake za malisho;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Katika eneo la kabila la Isakari, walipewa Kishioni pamoja na mbuga zake za malisho, Daberathi pamoja na mbuga zake za malisho,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Katika eneo la kabila la Isakari, walipewa Kishioni pamoja na mbuga zake za malisho, Daberathi pamoja na mbuga zake za malisho,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Katika eneo la kabila la Isakari, walipewa Kishioni pamoja na mbuga zake za malisho, Daberathi pamoja na mbuga zake za malisho,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kutoka kabila la Isakari, walipewa: Kishioni, Daberathi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kutoka kabila la Isakari walipewa, Kishioni, Daberathi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena katika kabila la Isakari, Kishioni pamoja na malisho yake, na Daberathi pamoja na mbuga zake za malisho;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 21:28
5 Marejeleo ya Msalaba  

kisha ukazunguka kutoka Saridi kwendelea upande wa mashariki kwa kuelekea maawio ya jua hata kufikia mpaka wa Kisiloth-ubori; kisha ukatokea hata Daberathi, kisha ukakwea kwendelea Yafia;


Rabithu, Kishioni, Ebesi;


Tena wana wa Gershoni, katika jamaa za Walawi, waliwapa, katika hiyo nusu ya kabila la Manase, Golani katika Bashani pamoja na mbuga zake za malisho, huo mji wa makimbilio kwa ajili ya mwuaji; na Beeshtera pamoja na mbuga zake za malisho; miji miwili.


na Yarmuthi pamoja na mbuga zake za malisho, na Enganimu pamoja na mbuga zake za malisho; miji minne.