Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 19:46 - Swahili Revised Union Version

Meyarkoni na Rakoni, pamoja na huo mpaka uliokuwa mkabala wa Yafa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Me-yarkoni na Rakoni na nchi iliyokuwa karibu na Yopa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Me-yarkoni na Rakoni na nchi iliyokuwa karibu na Yopa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Me-yarkoni na Rakoni na nchi iliyokuwa karibu na Yopa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Meyarkoni na Rakoni, pamoja na huo mpaka uliokuwa mkabala wa Yafa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 19:46
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa hiyo ngano na shayiri, mafuta na mvinyo, aliyonena bwana wangu, na wapelekewe watumishi wake;


nasi tutakata miti katika Lebanoni, kadiri utakavyohitaji; na kukuletea tukiieleza baharini mpaka Yafa; nawe utaipeleka Yerusalemu.


Lakini Yona akaondoka akimbilie Tarshishi, apate kujiepusha na uso wa BWANA; akateremka hadi Yafa, akaona merikebu inayokwenda Tarshishi; basi, akalipa nauli, akapanda merikebuni, aende pamoja nao Tarshishi, ajiepushe na uso wa BWANA.


na alipokwisha kuwaeleza mambo yote akawatuma kwenda Yafa.


Na mwanafunzi mmoja alikuwako Yafa, jina lake Tabitha, tafsiri yake ni Dorkasi (yaani paa); mwanamke huyu alikuwa amejaa matendo mema na sadaka alizozitoa.


Na kwa kuwa mji wa Lida ulikuwa karibu na Yafa, nao wanafunzi waliosikia ya kwamba Petro yuko huko, wakatuma watu wawili kwake, kumsihi na kusema, Njoo kwetu pasipo kukawia.


Ikajulikana katika mji mzima wa Yafa; watu wengi wakamwamini Bwana.


Basi Petro akakaa siku kadhaa huko Yafa, nyumbani mwa mtu mmoja, jina lake Simoni, mtengenezaji wa ngozi.


Yehudi, Bene-beraki, Gath-rimoni;


Kisha mpaka wa wana wa Dani ulitokea kuwapita wao; kwa kuwa hao wana wa Dani wakakwea na kupigana na Leshemu, na kuutwaa, na kuupiga kwa makali ya upanga, na kuumiliki, nao wakakaa humo, wakauita Dani, kwa kuliandama jina la huyo Dani mzee wao.