Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 19:36 - Swahili Revised Union Version

Adama, Rama Hazori;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Adama, Rama, Hazori,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Adama, Rama, Hazori,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Adama, Rama, Hazori,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Adama, Rama, Hazori,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Adama, Rama, Hazori,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Adama, Rama Hazori;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 19:36
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na hii ndiyo sababu ya shokoa aliyoitoza mfalme Sulemani; ili kuijenga nyumba ya BWANA, na nyumba yake mwenyewe, na Milo, na ukuta wa Yerusalemu, na Hasori, na Megido, na Gezeri.


Kisha ikawa, hapo huyo Yabini, mfalme wa Hazori, aliposikia habari ya mambo hayo, akatuma mjumbe aende kwa Yobabu, mfalme wa Madoni, na kwa mfalme wa Shimroni, na mfalme wa Akshafu,


Kwa kuwa lilikuwa ni la BWANA kuifanya mioyo yao kuwa migumu, hata wakatoka kupigana na Israeli, ili apate kuwaangamiza kabisa, wasihurumiwe lakini apate kuwaangamiza, kama vile BWANA alivyomwamuru Musa.


mfalme wa Madoni, mmoja; na mfalme wa Hazori, mmoja;


Na miji yenye boma ilikuwa ni hii, Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi;


Kedeshi, Edrei, Enhasori;


Nao wakaweka Kedeshi katika Galilaya katika nchi ya vilima ya Naftali, na Shekemu katika nchi ya vilima ya Efraimu, na Kiriath-arba (ndio Hebroni) katika nchi ya vilima ya Yuda.