Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 19:31 - Swahili Revised Union Version

Huu ndio urithi wa kabila la wana wa Asheri kwa kufuata jamaa zao; miji hii pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sehemu hizo ndizo zilizopewa koo za kabila la Asheri; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sehemu hizo ndizo zilizopewa koo za kabila la Asheri; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sehemu hizo ndizo zilizopewa koo za kabila la Asheri; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Asheri, kufuatana na koo zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huu ndio urithi wa kabila la wana wa Asheri kwa kufuata jamaa zao; miji hii pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 19:31
5 Marejeleo ya Msalaba  

Asheri, chakula chake kitakuwa kinono, Naye atatoa tunu za kifalme.


Tena mpakani mwake Dani, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Asheri, fungu moja.


na Uma pia, na Afeka, na Rehobu; miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.


Kisha sehemu ya sita ikatokea kwa ajili ya wana wa Naftali, maana, ni kwa ajili ya wana wa Naftali kwa kufuata jamaa zao.