Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 19:25 - Swahili Revised Union Version

Na mpaka wao ulikuwa ni Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Eneo la nchi yao lilikuwa na miji ya Helkathi, Hali, Beteni, Akshafi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Eneo la nchi yao lilikuwa na miji ya Helkathi, Hali, Beteni, Akshafi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Eneo la nchi yao lilikuwa na miji ya Helkathi, Hali, Beteni, Akshafi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Eneo lao lilijumuisha: Helkathi, Hali, Beteni, Akshafu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Eneo lao lilijumuisha: Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mpaka wao ulikuwa ni Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 19:25
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakakamatana, kila mtu akimshika mwenziwe kichwa chake, na kutia upanga wake katika ubavu wa mwenzake; wakaanguka pamoja; hata mahali pale pakaitwa Helkath-hasurimu, napo ni katika Gibeoni.


Kisha ikawa, hapo huyo Yabini, mfalme wa Hazori, aliposikia habari ya mambo hayo, akatuma mjumbe aende kwa Yobabu, mfalme wa Madoni, na kwa mfalme wa Shimroni, na mfalme wa Akshafu,


mfalme wa Shimron-meroni, mmoja; na mfalme wa Akshafu, mmoja;


Kisha sehemu ya tano ilitokea kwa ajili ya kabila la wana wa Asheri kwa kufuata jamaa zao.


Alameleki, Amadi na Mishali; nao ukafika hadi Karmeli upande wa magharibi, tena ulifikia hadi Shihor-libnathi;


na Helkathi pamoja na mbuga zake za malisho, na Rehobu pamoja na mbuga zake za malisho; miji minne.