Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 19:16 - Swahili Revised Union Version

Huu ndio urithi wa wana wa Zabuloni kwa kufuata jamaa zao; miji hii pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hiyo ndiyo sehemu zilizopewa koo za kabila la Zebuluni miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hiyo ndiyo sehemu zilizopewa koo za kabila la Zebuluni miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hiyo ndiyo sehemu zilizopewa koo za kabila la Zebuluni miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Miji hii na vijiji vyake ilikuwa urithi wa Zabuloni, kufuatana na koo zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Miji hii na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa Zabuloni, ukoo kwa ukoo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huu ndio urithi wa wana wa Zabuloni kwa kufuata jamaa zao; miji hii pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 19:16
2 Marejeleo ya Msalaba  

Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala na Bethlehemu; miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.


Kisha sehemu ya nne ilitokea kwa ajili ya Isakari, maana, ni kwa ajili ya wana wa Isakari kwa kufuata jamaa zao.