Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 18:2 - Swahili Revised Union Version

Yalikuwa yamebaki kati yao makabila saba ya wana wa Israeli ambayo yalikuwa hayajagawiwa urithi wao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yalikuwa yamebaki kati yao makabila saba ambayo hayakuwa yamegawiwa sehemu yao ya nchi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yalikuwa yamebaki kati yao makabila saba ambayo hayakuwa yamegawiwa sehemu yao ya nchi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yalikuwa yamebaki kati yao makabila saba ambayo hayakuwa yamegawiwa sehemu yao ya nchi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

lakini palikuwa bado makabila saba ya Israeli ambayo yalikuwa hayajapokea urithi wao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

lakini palikuwa bado makabila saba ya Israeli ambayo yalikuwa hayajapokea urithi wao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yalikuwa yamebaki kati yao makabila saba ya wana wa Israeli ambayo yalikuwa hayajagawiwa urithi wao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 18:2
2 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha mkutano mzima wa wana wa Israeli walikutana pamoja hapo Shilo, wakasimamisha hema ya kukutania huko; nayo nchi ilikuwa imeshindwa mbele zao.


Yoshua akawauliza wana wa Israeli, akasema, Je! Hata lini mtakuwa walegevu katika kuingia kwenu na kuimiliki hiyo nchi, ambayo yeye BWANA, Mungu wa baba zenu, amewapa?