Anabu, Eshtemoa, Animu;
Anabu, Eshtemoa, Animu,
Na wana wa Ezrahi; Yetheri, na Meredi, na Eferi, na Yaloni; na Miriamu akamzalia na Shamai, na Ishba, babaye Eshtemoa.
Dana, Kiriath-sana (ambao ni Debiri);
Gosheni, Holoni na Gilo; miji kumi na mmoja, pamoja na vijiji vyake.
na Yatiri pamoja na mbuga zake za malisho, na Eshtemoa pamoja na mbuga zake za malisho;
na kwa hao wa Aroeri, na kwa hao wa Sifmothi, na kwa hao wa Eshtemoa;