Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 15:33 - Swahili Revised Union Version

Katika nchi ya Shefela, Eshtaoli, Sora, Ashna,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Miji iliyokuwa kwenye tambarare ilikuwa: Eshtaoli, Sora, Ashna,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Miji iliyokuwa kwenye tambarare ilikuwa: Eshtaoli, Sora, Ashna,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Miji iliyokuwa kwenye tambarare ilikuwa: Eshtaoli, Sora, Ashna,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Katika Shefela: Eshtaoli, Sora, Ashna,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwenye shefela ya magharibi: Eshtaoli, Sora, Ashna,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Katika nchi ya Shefela, Eshtaoli, Sora, Ashna,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 15:33
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na jamaa za Kiriath-Yearimu; Waithri, na Waputhi, na Washumathi, na Wamishrai; katika hao walitoka Wasorathi, na Waeshtaoli.


Sora, Aiyaloni, na Hebroni, iliyoko katika Yuda na Benyamini, miji yenye maboma.


Wakafika bonde la Eshkoli, na huko wakakata tawi lenye kishada kimoja cha zabibu, wakalichukua kwa mti kati ya watu wawili; wakaleta makomamanga pia, na tini.


Lebaothi, Shilhimu, Aini na Rimoni; miji hiyo yote ni miji ishirini na tisa, pamoja na vijiji vyake.


Zanoa, Enganimu, Tapua, Enamu;


Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, Eshtaoli, Irishemeshi;


Palikuwa na mtu mmoja wa Sora, wa jamaa ya Wadani; jina lake akiitwa Manoa; na mkewe alikuwa tasa, hakuzaa watoto.


Roho ya BWANA ikaanza kumtaharakisha katika Mahane-dani, katikati ya Sora na Eshtaoli.


Ndipo ndugu zake, na watu wote wa nyumba ya baba yake wakateremka, wakamtwaa wakamchukua, wakamzika kati ya Sora na Eshtaoli, katika kiwanja cha kuzikia cha Manoa baba yake. Naye alikuwa mwamuzi wa Israeli muda wa miaka ishirini.