Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 11:18 - Swahili Revised Union Version

Yoshua akapiga vita siku nyingi na wafalme hao wote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Vita alivyopigana Yoshua na wafalme hawa wote vilichukua muda mrefu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Vita alivyopigana Yoshua na wafalme hawa wote vilichukua muda mrefu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Vita alivyopigana Yoshua na wafalme hawa wote vilichukua muda mrefu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yoshua akapigana vita dhidi ya wafalme hawa wote kwa muda mrefu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yoshua akapigana vita dhidi ya wafalme hawa wote kwa muda mrefu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yoshua akapigana vita siku nyingi na wafalme hao wote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 11:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

tangu kilima cha Halaki, kiendeleacho upande wa Seiri, mpaka Baal-gadi katika bonde la Lebanoni chini ya kilima cha Hermoni; naye akawatwaa wafalme wao wote, akawapiga, na kuwaua.


Haukuwapo mji hata mmoja uliofanya amani na wana wa Israeli, isipokuwa ni wale Wahivi waliokaa Gibeoni; wakaitwaa yote kwa vita.


Basi Yoshua akaitwaa hiyo nchi yote, sawasawa na hayo yote BWANA aliyokuwa amemwambia Musa; Yoshua naye akawapa Israeli kuwa ni urithi wao, sawasawa na walivyogawanyikana kwa makabila yao. Kisha nchi ikatulia isiwe na vita tena.