Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 1:3 - Swahili Revised Union Version

Kila mahali zitakapopakanyaga nyayo za miguu yenu, nimewapa ninyi, kama nilivyomwapia Musa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila mahali mtakapokanyaga nimewapeni kama nilivyomwahidi Mose.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila mahali mtakapokanyaga nimewapeni kama nilivyomwahidi Mose.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila mahali mtakapokanyaga nimewapeni kama nilivyomwahidi Mose.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kila mahali nyayo za miguu yenu zitakapokanyaga nimewapa, kama vile nilivyomwahidi Musa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kila mahali nyayo za miguu yenu zitakapokanyaga nimewapa, kama vile nilivyomwahidi Musa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kila mahali zitakapopakanyaga nyayo za miguu yenu, nimewapa ninyi, kama nilivyomwapia Musa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 1:3
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kila mahali mtakapokanyaga kwa nyayo za miguu yenu patakuwa penu; tokea hilo jangwa, na Lebanoni, na tokea mto wa Frati, mpaka bahari ya magharibi, itakuwa ndiyo mipaka yenu.


katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele;


Toka jangwa hili na mlima huu, Lebanoni, mpaka mto ule mkubwa, mto wa Frati, nchi yote ya Wahiti, tena mpaka bahari ile kubwa upande wa machweo ya jua, hapo ndipo patakapokuwa mpaka wenu.


Kisha Musa akaniapia siku hiyo, akasema, Hakika hiyo nchi ambayo miguu yako imekanyaga itakuwa ni urithi kwako wewe, na kwa watoto wako milele, kwa sababu wewe umemfuata BWANA, Mungu wako, kwa utimilifu.