Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yona 4:4 - Swahili Revised Union Version

Naye BWANA akasema, Je! Unatenda vema kukasirika?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye Mwenyezi-Mungu akamjibu Yona: “Unadhani wafanya vema kukasirika?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye Mwenyezi-Mungu akamjibu Yona: “Unadhani wafanya vema kukasirika?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye Mwenyezi-Mungu akamjibu Yona: “Unadhani wafanya vema kukasirika?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Mwenyezi Mungu akamjibu, “Je unayo haki yoyote kukasirika?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini bwana akamjibu, “Je unayo haki yoyote kukasirika?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye BWANA akasema, Je! Unatenda vema kukasirika?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yona 4:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia Kaini, Kwa nini una ghadhabu? Na kwa nini uso wako umekunjamana?


Basi Ahabu akaenda nyumbani kwake, ana moyo mzito, tena amekasirika, kwa sababu ya neno lile aliloambiwa na Nabothi Myezreeli, akisema, Sitakupa urithi wa baba zangu. Akajilaza kitandani pake, akageuza uso wake, akakataa kula.


Basi ujitunze, isije hasira ikakuvuta hata ukafanya mzaha; Wala usikubali ukuu wa ukombozi ukugeuze.


Lakini jambo hili lilimchukiza Yona sana, naye akakasirika.


Basi, sasa, Ee BWANA, nakuomba, uniondolee uhai wangu; maana ni afadhali nife mimi kuliko kuishi.


Ndipo Yona akatoka mjini, akaketi upande wa mashariki wa mji, akajitengenezea kibanda huko, akakaa chini yake uvulini, hadi aone mji ule utakuwaje.


Mungu akamwambia Yona, Je! Unatenda vema kukasirika kwa ajili ya mtango? Naye akasema, Ndiyo, natenda vema kukasirika hata kufa.


Enyi watu wangu, nimewatenda nini? Nami nimewachosha kwa kitu gani? Shuhudieni juu yangu.


Haruni atakusanywa awe pamoja na watu wake; kwa kuwa hataingia katika nchi niliyowapa wana wa Israeli, kwa sababu mliasi kinyume cha neno langu hapo penye maji ya Meriba.


Si halali yangu kutumia vilivyo vyangu kama nipendavyo? Au jicho lako limekuwa ovu kwa sababu ya mimi kuwa mwema?