Mwanzo 4:6 - Swahili Revised Union Version6 BWANA akamwambia Kaini, Kwa nini una ghadhabu? Na kwa nini uso wako umekunjamana? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mwenyezi-Mungu akamwambia Kaini, “Kwa nini umekasirika, na kwa nini uso wako umekunjamana? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mwenyezi-Mungu akamwambia Kaini, “Kwa nini umekasirika, na kwa nini uso wako umekunjamana? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mwenyezi-Mungu akamwambia Kaini, “Kwa nini umekasirika, na kwa nini uso wako umekunjamana? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kisha Mwenyezi Mungu akamwambia Kaini, “Kwa nini umekasirika? Kwa nini uso wako una huzuni? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kisha bwana akamwambia Kaini, “Kwa nini umekasirika? Kwa nini uso wako una huzuni? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 BWANA akamwambia Kaini, Kwa nini una ghadhabu? Na kwa nini uso wako umekunjamana? Tazama sura |