Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yona 1:1 - Swahili Revised Union Version

Basi neno la BWANA lilimjia Yona, mwana wa Amitai, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku moja, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yona, mwana wa Amitai:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku moja, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yona, mwana wa Amitai:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku moja, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yona, mwana wa Amitai:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Neno la Mwenyezi Mungu lilimjia Yona mwana wa Amitai:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Neno la bwana lilimjia Yona mwana wa Amitai:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi neno la BWANA lilimjia Yona, mwana wa Amitai, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yona 1:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye akaurudisha mpaka wa Israeli toka kuingia kwa Hamathi hata bahari ya Araba, sawasawa na neno la BWANA, Mungu wa Israeli, alilolinena kwa mkono wa mtumishi wake Yona mwana wa Amitai, nabii, aliyekuwa wa Gath-heferi.


Simba amekwisha kunguruma, ni nani asiyeogopa? Bwana MUNGU amenena, ni nani awezaye neno ila kutabiri?


Neno la BWANA likamjia Yona mara ya pili, kusema,


Kizazi kibaya na cha zinaa chataka ishara; wala hakitapewa ishara, isipokuwa ishara ya Yona. Akawaacha, akaenda zake.


Watu wa Ninawi watasimama siku ya hukumu pamoja na kizazi hiki, nao watakihukumu kuwa na hatia; kwa sababu wao walitubu kwa mahubiri ya Yona, na hapa pana mkubwa kuliko Yona.