Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 9:36 - Swahili Revised Union Version

Naye akajibu akasema, Ni nani, Bwana, nipate kumwamini?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huyo mtu akajibu, “Mheshimiwa, niambie yeye ni nani, ili nipate kumwamini.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huyo mtu akajibu, “Mheshimiwa, niambie yeye ni nani, ili nipate kumwamini.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huyo mtu akajibu, “Mheshimiwa, niambie yeye ni nani, ili nipate kumwamini.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yule mtu akamjibu, “Yeye ni nani, Bwana? Niambie ili nipate kumwamini.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yule mtu akamjibu, “Yeye ni nani, Bwana? Niambie ili nipate kumwamini.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye akajibu akasema, Ni nani, Bwana, nipate kumwamini?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 9:36
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mpendwa wa namna gani ni mpendwa wako, Wewe uliye mzuri katika wanawake, Mpendwa wa namna gani ni mpendwa wako, Hata wewe utusihi hivyo?


Wewe ndiwe yule ajaye, au tumngojee mwingine?


Yesu aligeuka, akawaona wakimfuata, akawaambia, Mnatafuta nini? Wakamwambia, Rabi, (maana yake, Mwalimu), unakaa wapi?


Yesu akamwambia, Umemwona, naye anayesema nawe ndiye.


Basi wamwiteje yeye wasiyemwamini? Tena wamwaminije yeye wasiyemsikia? Tena wamsikieje pasipo mhubiri?