Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 9:32 - Swahili Revised Union Version

Tokea hapo haijasikiwa ya kuwa mtu ameyafumbua macho ya mtu, ambaye alizaliwa kipofu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tangu zamani hatujasikia kwamba mtu amemponya yeyote aliyezaliwa kipofu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tangu zamani hatujasikia kwamba mtu amemponya yeyote aliyezaliwa kipofu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tokea hapo haijasikiwa ya kuwa mtu ameyafumbua macho ya mtu, ambaye alizaliwa kipofu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 9:32
7 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Hujui neno hili tangu zamani za kale, Tangu wanadamu kuwekwa juu ya nchi,


Maana tangu zamani za kale watu hawakusikia, wala kufahamu kwa masikio, wala jicho halikuona Mungu, ila wewe, atendaye mambo kwa ajili yake amngojaye.


Kama alivyosema tangu mwanzo Kwa kinywa cha manabii wake watakatifu;


Wengine wakasema, Maneno hayo siyo ya mtu mwenye pepo. Je! Pepo aweza kuwafumbua macho vipofu?


Tunajua ya kuwa Mungu hawasikii wenye dhambi; bali mtu akiwa ni mcha Mungu, na kuyafanya mapenzi yake, humsikia huyo.


Kama huyo asingalitoka kwa Mungu, asingeweza kutenda neno lolote.


Pakawa na umeme na sauti na radi; na palikuwa na tetemeko la nchi kubwa, ambalo tangu wanadamu kuwako juu ya nchi hapajawa namna ile, jinsi lilivyokuwa kubwa tetemeko hilo.