Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 9:13 - Swahili Revised Union Version

Basi wakampeleka kwa Mafarisayo yule aliyekuwa kipofu zamani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha wakampeleka huyo mtu aliyekuwa kipofu kwa Mafarisayo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha wakampeleka huyo mtu aliyekuwa kipofu kwa Mafarisayo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha wakampeleka huyo mtu aliyekuwa kipofu kwa Mafarisayo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamleta yule mtu aliyekuwa kipofu hapo awali kwa Mafarisayo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamleta kwa Mafarisayo yule mtu aliyekuwa kipofu hapo awali.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wakampeleka kwa Mafarisayo yule aliyekuwa kipofu zamani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 9:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na wakuu wa makuhani na Mafarisayo walikuwa wametoa amri ya kwamba mtu akimjua alipo, alete habari, ili wapate kumkamata.


Basi Mafarisayo wakasemezana wao kwa wao, Mwaona kwamba hamfai neno lolote; tazameni, ulimwengu umekwenda nyuma yake.


Lakini hata katika wakuu walikuwamo wengi waliomwamini; lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakumkiri, wasije wakatengwa na sinagogi.


Wakamwambia, Yuko wapi huyo? Akasema, Mimi sijui.


Nayo ilikuwa sabato, hapo Yesu alipofanya zile tope na kumfumbua macho.