Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 8:8 - Swahili Revised Union Version

Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika ardhi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akainama tena, akawa anaandika ardhini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akainama tena, akawa anaandika ardhini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akainama tena, akawa anaandika ardhini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akainama tena na kuandika ardhini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akainama tena na kuandika ardhini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika ardhi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 8:8
3 Marejeleo ya Msalaba  

kisha kuhani atatwaa maji matakatifu katika chombo cha udongo; kisha kuhani atatwaa katika vumbi lililo pale chini ya maskani, na kulitia katika hayo maji;


Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.


Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati.