Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 8:8 - Swahili Revised Union Version

8 Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika ardhi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Kisha akainama tena, akawa anaandika ardhini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Kisha akainama tena, akawa anaandika ardhini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Kisha akainama tena, akawa anaandika ardhini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Akainama tena na kuandika ardhini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Akainama tena na kuandika ardhini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika ardhi.

Tazama sura Nakili




Yohana 8:8
3 Marejeleo ya Msalaba  

kisha kuhani atatwaa maji matakatifu katika chombo cha udongo; kisha kuhani atatwaa katika vumbi lililo pale chini ya maskani, na kulitia katika hayo maji;


Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.


Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo