Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 8:50 - Swahili Revised Union Version

Wala mimi siutafuti utukufu wangu; kuna yule autafutaye na ndiye hakimu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini mimi sitafuti utukufu wangu mwenyewe, bali yuko anayetaka kunitukuza, naye ndiye mwamuzi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini mimi sitafuti utukufu wangu mwenyewe, bali yuko anayetaka kunitukuza, naye ndiye mwamuzi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala mimi siutafuti utukufu wangu; kuna yule autafutaye na ndiye hakimu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 8:50
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi siupokei utukufu kwa wanadamu.


Msidhani kwamba mimi nitawashitaki kwa Baba; yuko anayewashitaki, ndiye Musa, mnayemtumaini ninyi.


Yeye anenaye kwa nafsi yake tu hutafuta utukufu wake mwenyewe; bali yeye anayetafuta utukufu wake aliyemtuma, huyo ni wa kweli, wala ndani yake hamna udhalimu.


Yesu akajibu, Nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu; anitukuzaye ni Baba yangu, ambaye ninyi mwanena kuwa ni Mungu wenu.