Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 8:35 - Swahili Revised Union Version

Wala mtumwa hakai nyumbani sikuzote; mwana hukaa sikuzote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtumwa hana makao ya kudumu nyumbani, lakini mwana anayo makao ya kudumu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtumwa hana makao ya kudumu nyumbani, lakini mwana anayo makao ya kudumu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtumwa hana makao ya kudumu nyumbani, lakini mwana anayo makao ya kudumu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtumwa hakai nyumbani anakotumika siku zote, lakini mwana hukaa nyumbani daima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtumwa hakai nyumbani anakotumika siku zote, lakini mwana hukaa nyumbani daima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala mtumwa hakai nyumbani siku zote; mwana hukaa siku zote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 8:35
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo akamwambia Abrahamu, Mfukuze mjakazi huyu na mwanawe, maana mwana wa mjakazi hatarithi pamoja na mwanangu, Isaka.


Bali akimpa mmoja wa watumishi wake baadhi ya urithi wake, itakuwa mali yake mpaka mwaka wa kuacha huru; ndipo itakapomrudia mkuu; lakini urithi wake, huo utakuwa wa wanawe.


Akamwambia, Mwanangu, wewe u pamoja nami sikuzote, na vyote nilivyo navyo ni vyako.


Kwa maana mlikufa, na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.


bali yeye, kwa kuwa anakaa milele, anao ukuhani wake usioondoka.