Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 15:31 - Swahili Revised Union Version

31 Akamwambia, Mwanangu, wewe u pamoja nami sikuzote, na vyote nilivyo navyo ni vyako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Baba yake akamjibu: ‘Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na kila nilicho nacho ni chako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Baba yake akamjibu: ‘Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na kila nilicho nacho ni chako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Baba yake akamjibu: ‘Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na kila nilicho nacho ni chako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 “Baba yake akamjibu, ‘Mwanangu, umekuwa nami siku zote na vyote nilivyo navyo ni vyako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 “Baba yake akamjibu, ‘Mwanangu, umekuwa nami siku zote na vyote nilivyo navyo ni vyako.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Akamwambia, Mwanangu, wewe u pamoja nami siku zote, na vyote nilivyo navyo ni vyako.

Tazama sura Nakili




Luka 15:31
9 Marejeleo ya Msalaba  

lakini, alipokuja huyu mwana wako aliyekula vitu vyako pamoja na makahaba, umemchinjia yeye ndama aliyenona.


Bali ilibidi kusherehekea na kushangilia kwa kuwa huyu ndugu yako alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana.


Wala mtumwa hakai nyumbani sikuzote; mwana hukaa sikuzote.


Basi, nauliza, Je! Mungu aliwasukumia mbali watu wake? La hasha! Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja wa wazawa wa Abrahamu, mtu wa kabila la Benyamini.


Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, naye atalipwa tena?


ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo