Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 8:30 - Swahili Revised Union Version

Naye alipokuwa akisema hayo, wengi walimwamini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya kusema hayo watu wengi walimwamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya kusema hayo watu wengi walimwamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya kusema hayo watu wengi walimwamini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wengi waliomsikia Isa akisema maneno haya wakamwamini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wengi waliomsikia Isa akisema maneno haya wakamwamini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye alipokuwa akisema hayo, wengi walimwamini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 8:30
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wengi wakamwamini huko.


Basi wengi katika Wayahudi waliokuja kwa Mariamu, na kuyaona yale aliyoyafanya, wakamwamini.


Hata alipokuwapo Yerusalemu kwenye sikukuu wakati wa Pasaka, watu wengi waliamini jina lake, walipoziona ishara zake alizozifanya.


Basi watu wale, walipoiona ishara aliyoifanya, walisema, Hakika huyu ni nabii yule ajaye ulimwenguni.


Na watu wengi katika mkutano wakamwamini; wakasema, Atakapokuja Kristo, je! Atafanya ishara nyingi zaidi kuliko hizi alizozifanya huyu?