Yohana 8:29 - Swahili Revised Union Version29 Naye aliyenituma yu pamoja nami, hakuniacha peke yangu; kwa sababu nafanya sikuzote yale yampendezayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Yule aliyenituma yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Yule aliyenituma yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Yule aliyenituma yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Yeye aliyenituma yu pamoja nami; hajaniacha, kwa kuwa siku zote nafanya mapenzi yake.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Yeye aliyenituma yu pamoja nami, hajaniacha, kwa kuwa siku zote nafanya mapenzi yake.’ ” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI29 Naye aliyenituma yu pamoja nami, hakuniacha peke yangu; kwa sababu nafanya siku zote yale yampendezayo. Tazama sura |