Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 7:5 - Swahili Revised Union Version

Maana hata nduguze hawakumwamini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

(Hata ndugu zake hawakumwamini).

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

(Hata ndugu zake hawakumwamini).

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

(Hata ndugu zake hawakumwamini).

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata ndugu zake mwenyewe hawakumwamini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata ndugu zake mwenyewe hawakumwamini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana hata nduguze hawakumwamini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 7:5
7 Marejeleo ya Msalaba  

Alipokuwa katika kusema na makutano, tazama, mama yake na ndugu zake walikuwa wakisimama nje, wataka kusema naye.


Jamaa zake walipopata habari wakatoka kwenda kumkamata; maana walisema, Amerukwa na akili.


Hata ndugu zake walipokwisha kupanda kuiendea sikukuu, ndipo yeye naye alipopanda, si kwa wazi bali kana kwamba kwa siri.


Basi ndugu zake wakamwambia, Ondoka hapa, uende Yudea, wanafunzi wako nao wapate kuzitazama kazi zako unazozifanya.


Kwa maana hakuna mtu afanyaye mambo kwa siri, naye yeye mwenyewe anataka kujulikana. Ukifanya mambo haya, basi jidhihirishe kwa ulimwengu.