Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 7:46 - Swahili Revised Union Version

Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu yeyote kama huyu anavyonena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walinzi wakawajibu, “Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walinzi wakawajibu, “Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walinzi wakawajibu, “Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale walinzi wakajibu, “Kamwe hajanena mtu yeyote kama yeye anenavyo.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale walinzi wakajibu, “Kamwe hajanena mtu yeyote kama yeye anenavyo.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu yeyote kama huyu anavyonena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 7:46
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamshuhudia wote, wakiyastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake, wakasema, Huyu siye mwana wa Yusufu?


wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.


Na kumbe! Anena waziwazi, wala hawamwambii neno! Inawezekana hao wakuu wanajua hakika ya kuwa huyu ndiye Kristo?


Mafarisayo wakawasikia mkutano wakinung'unika hivi juu yake; basi wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakatuma watumishi ili wamkamate.