Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 6:16 - Swahili Revised Union Version

Hata ilipokuwa jioni wanafunzi wake wakateremka baharini

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ilipokuwa jioni wanafunzi wake waliteremka hadi ziwani,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ilipokuwa jioni wanafunzi wake waliteremka hadi ziwani,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ilipokuwa jioni wanafunzi wake waliteremka hadi ziwani,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ilipofika jioni, wanafunzi wake waliteremka kwenda baharini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ilipofika jioni, wanafunzi wake waliteremka kwenda baharini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata ilipokuwa jioni wanafunzi wake wakateremka baharini

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 6:16
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na kulipokuwa jioni mashua ilikuwa katikati ya bahari, na yeye yu peke yake katika nchi kavu.


Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.


wakapanda katika mashua, wakaanza kuivuka bahari kwenda Kapernaumu. Nako kumekwisha kuwa giza, wala Yesu hajawafikia.